




Mdau amewasilisha hili tushirikiane baada ya kukatiza maeneo hayo leo asubuhi akielekea kutafuta ridhiki. "Kaka hizi nyumba wanaishi watu unaweza kudhani zimetelekezwa lakini ukweli ni kwamba haya ni makazi ya watu, nimetwanga hizi picha na kicamera changu asubuhi ya leo nilipita mitaa hiyo kukwepa foleni ya Mbezi"






0 comments:
Post a Comment