Mshindi wa droo ya kwanza ya Chomoka na Vespa inayochezeshwa na kampuni ya Zantel Bw.Mkombe Juma Hamisi akiifanyia majaribisho Vespa yake. Pembeni ni Afisa Masoko Zantel Zanzibar Bw. Ibrahim Attas. Afisa Masoko Zantel Zanzibar Ibrahim Attas akimkabidhi mshindi wa droo ya kwanza ya Chomoka na Vespa Bw. Mkombe Juma Hamisi.
0 comments:
Post a Comment