
Polisi akiwahoji madereva Kilasa Mtambalike ambaye gari lake dogo liligonga kwa nyuma daladala lililokuwa limeharibika karibia na makutano ya kuingilia Hospitali ya Tiafa Muhumibi jana usiku na dereva mwenzake wa daladala.

Gari ya kilasa ilivyoharibika vibaya.

Watu wakiangalia ajali hiyo ambayo inadaiwa kutokea baada ya daladala lililoharibika kutokuweka alama ya pembetatu kuashiria ajali na badala yake kuweka majani.

Kilasa akipita karibu na gari hizo.

Watu waliodai kuwa ni mashuhuda wa ajali hiyo wakizozana na askari Polisi.
pole sana sasa mbona triangle iliyowekwa na daladala haionekani?inaonekana daladala lina makosa kwani hata mimi jana nilipita njia hiyo bado kidogo nilivae hilo gari. hawa daladala zetu zinasababisha ajali sana.
ReplyDelete