Nafasi Ya Matangazo

February 14, 2010

Kiongozi wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila akizungumza na waandioshi wa habari Dar es Salaaam leo akipinga kauli ya Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Uratibu na Bunge Philip Marmo aliyesema kuwa uchaguzi mkuu mwaka huu utafanyika bila kuwepo kwa mgombea Binafsi.

Mtikila kwa mujibu wa Katiba na sheria uchaguzi lazima uwe huru na haki kwa kufanyika pakiwepo wagombea binafsi na Bila yao hakuna uchaguzi utakaofanyika mwaka huu.
Posted by MROKI On Sunday, February 14, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo