Nafasi Ya Matangazo

February 22, 2010

Baada ya kuopata fidia baadhi ya wakazi wa Mbagala walifanyia ukarabati nyumba zao kama inavyoonekana pichanani.
Ni pazuri ajabu utadhani watu ndo wamehamia siku za karibuni maana nyumba nyingi ni mpya na za kisasa zaidi.
Moja ya Mahema ambayo yamesalia kwa wakazi wa Mbagala ambapo wanatakiwa kuyarejesha ili yakatumikea katika maafa sehemu nyingine nchini.
Posted by MROKI On Monday, February 22, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo