Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Green Acres wakiwa katika mdahalo na wanafunzi wa shule nyinge za mkoa wa Dar es Salaam juu ya umuhimu wa ulipaji kodi. Mdahalo huo umeandaliwa kwa pamoja kati ya Taasisi ya TAYCO na Mamlaka ya Mapato nchioni TRA ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mlipa kodi.
0 comments:
Post a Comment