Nafasi Ya Matangazo

October 03, 2009

Vodacom Miss Tanzania 2009 Miriam Gerald akipunga mkono mara baada ya kutawazwa kuwa mshindi wa taji hiolo na kuwaangusha wanyange wenzake 28 katika shindano hilo usiku wa kuamkia leo.

Miriam Gerald alikuwa ni shiriki namba tatu na ndiye aliyeibuka kuwa Mrembo mwenye Mvuto wa Picha.
Posted by MROKI On Saturday, October 03, 2009 1 comment

1 comment:

  1. dahaaa haka katoto nilikua najua kwamba katautwa ushindi mapema.maaana kana mwanya wakuvutiaa .naomba contact zake nikaoee miee kiwembe a.k.a mbeba boxi ughaibunio.hahahahahha

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo