Nafasi Ya Matangazo

October 05, 2009

Hii ni mandhari nzuri ya Jiji la Dar es Salaam, ambapo inaonekana wananchi wapita kando kando ya dimbwi la maji taka ya chooni lililopo Posta Mpya karibu na Kituo cha Mafuta cha GAPCO barabara ya Azikiwe. Maji haya yanatiririka katika eneo hilo kwa zaidi ya mwezi sasa bila ya wahusika kuchukua hatua.
Posted by MROKI On Monday, October 05, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo