Nafasi Ya Matangazo

August 17, 2009

Hatimaye Zombe na wenzake 9 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa mkoani Morogoro wameachiwa huru na mahakam Kuu ya Tanzania.Watu wakiingia Mahaka Kuu na wengine wakiwa wamekaa nje kusubiri huku.
Umati ulizidi kuongezeka hadi lango kuu kujaa.
Watu wakishangilia baada ya huku kutolewa na Zombe na wenzake kuachiwa huru..
Posted by MROKI On Monday, August 17, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo