
Michael Maluwe akivalishwa pete ya ndoa na mkewe kipenzi Diana jana katika Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Dar es Salaam

Wawili hao wakiwa katika tafrija yao kabambe iliyofanyika katika ukumbu wa Sunset Mbezi Dar es Salaam Februari 14 mwaka huu. Mungu aibariki ndoa yao.
NB: FATHER KIDEVU PIA ANAPIGA PICHA KATIKA MAHARUSI, SEND OFF, KITCHEN PARTY NK. WASILIANA NAE 0755 373999.
0 comments:
Post a Comment