Nafasi Ya Matangazo

October 23, 2014

 Rais Jakaya Kikwete akitunukiwa uprofesa wa heshima kutoka Chuo Kikuu cah Kilimo China jijini Beijing. Kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho, Jiang Peimin na kulia ni Rais wa Chuo hicho Profesa KE Bingsheng.

 Rais Kikwete akivishwa beji maalum
 Rais Kikwete akitoa hotuba yake.


Rais Jakaya Kiwete akitembelea shamba maalum la kisasa (greenhouse) alipowasili katika Chuo Kikuu cha Kilimo China mchana wa leo na kuhutubia hadhara ya chuo hicho juu ya maendeleo ya kilimo nchini Tanzania kabla ya kutunukiwa uprofesa wa heshima.
Posted by MROKI On Thursday, October 23, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo