Nafasi Ya Matangazo

February 17, 2013

Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kimefanya mkutano wake wa hadhara katika Kata ya Goba nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mkutano huo ambao ulijaza umati wa watu wakiwamo wanachama wa chama hicho ulihutubiwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa, Nape Nnauye.







Posted by MROKI On Sunday, February 17, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo