Nafasi Ya Matangazo

October 18, 2012

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki akizindua awamu ya pili ya kuzisaidia kifedha Asasi zinazotoa huduma ya msaada wa kisheria nchini katika hafla iliyofanyika jana, jijini Dar Es Salaam.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. angellah Kairuki akikabidhi tuzo ya fedha kwa moja ya Asasi zilizopata tuzo hizo jana jijini Dar Es Salaam. Katikati anayeshuhudia ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Othman Makungu.
Posted by MROKI On Thursday, October 18, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo