Nafasi Ya Matangazo

October 03, 2011

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumzahii leo jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Makazi Duniani. Miongoni mwa mambo aliyo yakemea ni watu kujenga katika maeneo ya wazi, hifadhi ya barabara pamoja na walewanao ziba barabara na kuzuia wakazi wengine kufika makwao. Prof. Tibaijuka ametoa wito kwa watanzania wote kuchukua tahadhari hizo mapema kabla ya watendaje wake wa Wizara kufika katika maeneo hayo.
Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wakimsikiliza Prof Tibaijuka akifungua maadhimisho hayo yaliyoambatana na semina.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Godluck Ole Medeye akiangalia maonesho ya siku ya makazi Duniani.
OfisaMipango Miji wa Wizara, Bwana Mogella akielezea ramani ya Mji mpya wa Kigamboni.
Posted by MROKI On Monday, October 03, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo