KARIBUNI SANA KATIKA BLOGU YENU YA JAMII AMBAYO INA LENGO LA , KUELIMISHA, KUBURUDSHA NA KUKOSOA PALE INAPOBIDI BILA KUATHIRI UPANDE WOWOTE WA JAMII . MAONI YENU NI MUHIMU SANA KATIKA KUENDELEZA BLOGU HII. MAONI TUTOAYO YAZINGATIE AMANI NA UPENDO, LUGHA ZISIZOZINGATIA MAADILI YA KITANZANIA NA AFRIKA HAZIRUHUSIWI.
November 08, 2009
MAJUU KWELI HAMNAZO, SALON YA MASSAGE KWA NYOKA Msichana akifanyiwa Massage kwa kutumia nyoka ambao wanadaiwa kuwa ni wakali.
Hapa ni mgongoni sasa... mama huyu anataraji kufungua salon jijini Dar es Salaam na hakika anayetoka hapo anakuwa mtembo wa haja.
Bibie hapoa anasikia raha iliyopitiliza siunajua ubaridi wa nyoka sasa akipita mgongoni si ndo usiseme na kuteleza kwake.
 
©FATHER KIDEVU | Tarehe: Sunday, November 08, 2009 | Permalink |


Maoni: 2


  • Tarehe: November 09, 2009, Anonymous Anonymous Anasema:

    mmh kazi kwelikweli ! kwa mtaji huo bongo hatampata mteja yoyote .... wabongo sie ni waoga sana wa nyoka !

     
  • Tarehe: November 11, 2009, Anonymous Anonymous Anasema:

    eeeee bwana bi up sana mroki,nimecheck web yako lakina haina information ya kutosha jitahidi kuweka mambo mengi humu ili mtu aweze kuapata information nyingi zaidi
    ni hayo tu
    stanley Francis Kunambi,moro

     
Idadi ya watu