Nafasi Ya Matangazo

March 25, 2026

Viongozi na waombolezaji mbalimbali wamewasili nyumbani  kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu) marehemu Mhe. William V. Lukuvi, Area D Jijini Dodoma.

Mhe. Lukuvi amefariki dunia leo tarehe 25 Machi, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa matibabu.












Posted by MROKI On Wednesday, March 25, 2026 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo