Naibu Waziri Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange (kulia) akiangalia
mtungi wa gesi alipofanya ziara katika Shule ya Sekondari ya wasichana Mabwe
Tumaini iliyopo Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam Februari 23, 2026,
kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya nishati safi kwa taasisi zinazolisha watu
zaidi ya 100. Wengine ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule na Mkuu wa Shule
ya Sekondari ya Wasichana ya Mabwe Tumaini Bi. Selemia Miyangaa.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange akimsikiliza Bw.
Francis Maganga ambaye ni mpishi wa Shule ya Sekondari ya wasichana Mabwe
Tumaini iliyopo Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam alipofanya ziara ya
kufuatilia shule zinazotumia nishati safi kupikia na kuachana na kuni na mkaa, Februari
23, 2026.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange (kulia) akizungumza wakati alipofanya ziara katika Shule ya Sekondari ya wasichana Mabwe Tumaini iliyopo Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam Februari 23, 2026, kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya nishati safi kwa taasisi zinazolisha watu zaidi ya 100.Naibu Waziri Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange (kulia) akizungumza
wakati alipofanya ziara katika Shule ya Sekondari ya wasichana Mabwe Tumaini iliyopo
Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam Februari 23, 2026, kufanya
ufuatiliaji wa matumizi ya nishati safi kwa taasisi zinazolisha watu zaidi ya
100.
***************
Serikali imewaelekeza wakurugenzi
wa halmashauri zote nchini kuhakikishia taasisi zao zikiwemo za elimu zinahamia
katika nishati safi ya kupikia na kuachana na kuni na mkaa ifikapo Juni 30, 2026,
hatua itakayosaidia kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya niashati hiyo isiyo
safi.Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Dkt. Dugange alisema dhamira ya Serikali ni kuhakikisha kuwa Tanzania inasimamia utunzaji wa mazingira kwa kuendelea kupanda miti katika maeneo mbalimbali nchini.
Awali akitoa taarifa fupi kuhusu matumizi ya nishati safi, Mkuu wa shule hiyo, Bi. Selemia Miyangaa alisema awali walikuwa wakitumia kuni kwa ajili ya kupikia ambayo ilikuwa ni shilingi milioni 3 kwa mwezi.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange (kulia) akiwa katika
ziara ya kutembelea Shule ya Sekondari ya wasichana Mabwe Tumaini iliyopo
Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam Februari 23, 2026, kufanya
ufuatiliaji wa matumizi ya nishati safi kwa taasisi zinazolisha watu zaidi ya
100.











0 comments:
Post a Comment