Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria
ufunguzi wa kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji wa pamba cha
MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kama ishara ya kufungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea na kukagua
shughuli zinazofanyika katika kiwanda cha mabomba na uchakataji pamba cha MOLI
Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea na kukagua
shughuli zinazofanyika katika kiwanda cha mabomba na uchakataji pamba cha MOLI
Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
Muonekano wa mitambo
wa kutengeneza mabomba ya maji pamoja na ule wa kuchataka pamba katika kiwanda
MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
Magari yakiwa yamepakia marobota ya pamba tayari kwa uchakataji katika kiwanda cha kuchakata pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya
kufungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji wa pamba cha
MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
0 comments:
Post a Comment