Nafasi Ya Matangazo

June 28, 2025



Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amechukua na kurudisha fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo jipya la Uyole mkoani Mbeya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Dkt. Tulia amechukua fomu hiyo katika Ofisi za CCM Wilaya ya Mbeya mjini leo tarehe 28 Juni, 2025.
Posted by MROKI On Saturday, June 28, 2025 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo