Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa mgeni rasmi, leo Ijumaa tarehe 4 Aprili, amefungua Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF), unaokutana mjini Songea kwa siku mbili, hadi tarehe 5 Aprili, mwaka huu, kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa viongozi wa jukwaa hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment