Nafasi Ya Matangazo

April 04, 2025

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa mgeni rasmi, leo Ijumaa tarehe 4 Aprili, amefungua Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF), unaokutana mjini Songea kwa siku mbili, hadi tarehe 5 Aprili, mwaka huu, kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa viongozi wa jukwaa hilo.












Posted by MROKI On Friday, April 04, 2025 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo