Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) (kushoto) akimkabidhi zawadi Mwakilishi wa Kanda wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA), Bi. Ashita Mittal(katikati mara baada ya kikao kuhusu namna ya kukabiliana na uhalifu unaoathiri mazingira, kuangazia miradi inayoendelea, kilichofanyika jijini leo Februari 17,2025 jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) akizungumza na Mwakilishi wa Kanda wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA), Bi. Ashita Mittal, kuhusu namna ya kukabiliana na uhalifu unaoathiri mazingira, kuangazia miradi inayoendelea, ikiwa ni pamoja na usafirishaji haramu wa nyara na mazao ya misitu, uvuvi haramu na usalama wa baharini, katika kikao kilichofanyika leo Februari 17,2025 jijini Dar es Salaam.Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) (wa pili kutoka kushoto) akizungumza na Mwakilishi wa Kanda wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA), Bi. Ashita Mittal(hayupo pichani), kuhusu namna ya kukabiliana na uhalifu unaoathiri mazingira, kuangazia miradi inayoendelea, ikiwa ni pamoja na usafirishaji haramu wa nyara na mazao ya misitu, uvuvi haramu na usalama wa baharini, katika kikao kilichofanyikaleo Februari 17,2025 jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni Watendaji kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii.
Mwakilishi wa Kanda wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA), Bi. Ashita Mittal (wa pili kutoka kushoto) akizungumza katika kikao kati yake na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) (hayupo pichani) kilichofanyika leo Februari 17,2025 jijini Dar es Salaam. Wengine ni Maafisa kutoka wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA).Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) akizungumza na Mwakilishi wa Kanda wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA), Bi. Ashita Mittal, kuhusu namna ya kukabiliana na uhalifu unaoathiri mazingira, kuangazia miradi inayoendelea, ikiwa ni pamoja na usafirishaji haramu wa nyara na mazao ya misitu, uvuvi haramu na usalama wa baharini, katika kikao kilichofanyika leo Februari 17,2025 jijini Dar es Salaam.

****************
Na
Happiness Shayo-Dar es SalaamSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA), imejipanga kuendelea kuimarisha ushirikiano katika kudhibiti uhalifu unaoathiri mazingira (Enviromental Crimes) na kulinda bayoanuwai.
“Biashara Haramu ya Wanyamapori sio tu inaleta tishio kwa usalama wa rasilimali za wanyamapori na misitu miongoni mwa nchi wanachama, hivyo kuathiri uchumi wetu na kuwezesha uhalifu mwingine wa kupangwa kama vile utakatishaji fedha na ugaidi”Mhe. Chana amesisitiza.
0 comments:
Post a Comment