Nafasi Ya Matangazo

June 25, 2024







Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde akiwa na watendaji wa Wizara ya Madini na Viongozi wa Nkandi Gold Mine wa Wilayani Kahama-Shinyanga kwenye kikao cha usuluhishi baina  ya wamiliki wa duara Na. 7 na 8.

Katika kikao hicho, Waziri Mavunde amemwagiza Kamishna wa Madini Dkt. Abdulrahman Mwanga kutuma Timu kukagua usalama wa shughuli za uchimbaji katika maduara hayo kabla hajatoa uamuzi wa mwisho wa kutatua mgogoro wa muingiliano uliopo baina ya wamiliki wa maduara hayo.
Posted by MROKI On Tuesday, June 25, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo