Nafasi Ya Matangazo

October 23, 2022

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete amefunga Mkutano wa Tatu wa Mwaka wa Bodi ya Usajili ya Wathamini na Wathamini uliokua unafanyika Jijini Arusha.
Kikwete amewaasa Wathamini kutambua umuhimu wa taalama yao na kulinda maadili.


Aidha amewaambia  kutofuata sheria kunaweza sababisha hasara kwa Serikali na Wananchi hivyo kusababisha migogoro isiyo ya lazima.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete alifurahi jambo na baadhi ya wathamini ardhi.
Sehemu ya wathamini Ardhi

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete akisalimiana na baadhi ya wathamini ardhi.
Posted by MROKI On Sunday, October 23, 2022 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo