Nafasi Ya Matangazo

June 18, 2022


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Alhaj  Othman Masoud Othman, amejumuika na Wananchi mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Husein Ali Mwinyi, katika maziko ya Baba wa Waziri wa Maji na Nishati Zanzibar Mhe. Shaibu Hassan Kaduara.
Marehemu Mzee Hassan Kaduara, amefariki dunia usiku wa Juni 17, nyumbani kwake Fuoni Mambosasa na kuzikwa leo June 18, katika makaburi ya Mwera Pongwe Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahala pema Peponi Amin!
Posted by MROKI On Saturday, June 18, 2022 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo