Nafasi Ya Matangazo

September 22, 2019

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga ngoma kama ishara ya Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya  ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam leo Sept 22,2019.
 Baadhi ya Wasanii wa Vikundi vya Sanaa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya  ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam leo Sept 22,2019. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Wageni wakifuatilia ufunguzi
 Waghani mashairi wakitoa burudani
Msanii Diamond akitumbuiza
Posted by MROKI On Sunday, September 22, 2019 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo