Nafasi Ya Matangazo

July 18, 2016

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, Deusdedith Kinawiro akifuyngua mafunzo ya siku nne ya Madiwani kutoka Hlamashauri mbii za Kyerwa na Biharamuo juu ya namna ya utekelezaji wa Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za umma (PS3) chini ya ufadhili wa Serikali ya Marekali kupitia shirika ake la misaada la Kimataifa (USAID) ikishirikiana na serikali kuu.

Mradi huo ulizinduliwa Julai 12 mwaka huu ambapo Halmashauri hizo mbii ndio zitatekeeza mradi huo mkoani Kagera kwa awamu ya kwanza.

Kinawiro alisema anatarajio kuona mafunzo haya elekezi yanatumika kama ilivyokusudiwa, na waheshimiwa madiwani wanapata uelewa na maarifa kuhusu uendeshaji wa Serikali za Mitaa, pamoja na wajibu na majukumu yao katika kusimamia uendeshaji wa Mamlaka hizi.
Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Kanali (Mstaafu), Shabaan Lissu akiwa na Mkuu wa Wiaya ya Biharamulo, Saada Malunde wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo ya madiwani yaliyofanyika mjini Bukoba leo.
 Mwenyekiti wa Hlamashauri ya Kyerwa, Kashunju Runyogote (kushoto) akiwa na madiwani wenzake wa Kyerwa wakifuatilia hotuba ya ufunguzi.
 Baadhi ya Madiwani na Watendaji wa Hamashauri za Kyerwa na Biharamuo mkoani Kagera wakifuatilia ufunguzi huo.
 Kiongozi wa timu ya Uzinduzi ya PS3 Mkoani Kagera na Mtaalam wa Fedha wa Mradi huo wa PS3, Abdul Kitula akizungumza juu ya mafunzi hayo kwa madiwani.

Kitua aliwataka watendaji hao kushiriki kikamilifu katika mafunzo hayo ambayo ndio utekelezaji wa mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za  Umma ambao nchini unatekelezwa katika mikoa 13 na kuzinufaisha Halamashauri 93. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI.


 Madiwani kutoka Hamashauri za Kyerwa na Biharamuo wakimsikiiza Kitula wa PS3.
 Mwenyekiti wa mafunzo hayo, Ernest Kausa akizungumza kwa niaba ya madiwani wenzake.
 Wawezeshaji kutoka Mradi wa PS3 wakifuatilia hotuba ya ufunguzi.
 Magdaena Katunzi kutoka PS3 akitoa maelekezo ya namna mafunzo hayo yatakavyofanyika pamoja na mada zitakazo tolewa.
Maofisa wa Halamashsuri wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo.
 Madiwani kutoka Halmashauri mbaimbali wakielezea Matarajio yao baada ya mafunzo hayo jinsi yatakavyo badilisha utendaji wao wa kazi.
 Mtaalam wa Masuala ya Tafiti Tendaji kutoka PS3 Aloyce Maziku akiendesha mafunzo kwa madiwani.
 Wajumbe wa kamati ya Utendaji ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ALAT) kutoka kushoto, Mstahiki Meya wa Jiji a Tanga na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya ALAT Taifa, Seleboss Mustafa, Mstahiki Meya Manispaa ya Tabora,Leopold Ulaya na Mwenyekiti wa Halamashauri ya Bariadi na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya ALAT, Robert Mgata
Mtaalam wa Masuala ya Utawaa Bora wa Mradi wa PS3, Pau Chikira akiwasiisha mada ya Utawaa bora na Ushirikishwaji wa wananchi wakati wa mafunzo hayo.
 Madiwani wakifuatilia mada kwa umakini.

Mwezeshaji kutoka PS3, Lazaro Kisumbe  akiwasilisha mada katika mafunzo hayo.
 
Washiriki wakifuatilia mada hiyo.
 Maofisa wa PS3 wakijadiliana jambo.
Mratibu wa Mradi wa PS3 kutoka TAMISEMI, Bertha Swai akifafanua jambo.
 Picha ya pamoja kati ya Mgeni rasi na madiwani wa halmashauri zote mbili.
Picha ya pamoja kati ya Mgeni rasmi na maofisa wa PS3.
Posted by MROKI On Monday, July 18, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo