Nafasi Ya Matangazo

March 10, 2016

 Mwendesha mitambo ya Upishi wa  vinywaji vinavyozalishwa na kiwanda cha Bia Tanzania( TBL) James Mruma akitoa maelezo kwa wanafunzi wa  Chuo cha Air Tanzania Training  Institute  (ATCL) ,wanaosoma  kozi ya kutoa huduma ndani ya  ndege (Cabin Crew) wakati walipotembelea katika kiwanda cha TBL Ilala jijini Dar es Salaam jana kwa ziara ya mafunzo ya usalama wa abiria pamoja na Afya zao.
 Mwendesha mitambo ya Upishi wa  vinywaji vinavyozalishwa na kiwanda cha Bia Tanzania( TBL) James Mruma akitoa maelezo kwa wanafunzi wa  Chuo cha Air Tanzania Training  Institute  (ATCL) ,wanaosoma  kozi ya kutoa huduma ndani ya  ndege (Cabin Crew) wakati walipotembelea katika kiwanda cha TBL Ilala jijini Dar es Salaam jana kwa ziara ya mafunzo ya usalama wa abiria pamoja na Afya zao.
Wanafunzi wa  Chuo cha Air Tanzania Training Institute  (ATCL) ,  Kiongozi wa timu ya upishi vinywaji vinavyozalishwa na kiwanda cha Bia Tanzania( TBL) Andrew Mugasha  wakati  walipofanya ziara ya mafunzo katika kiwanda cha TBL Ilala jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa kuzalisha bia katika kiwanda cha TBL , Emmanuel Sawe akitoa maelezo kwa wanafuzi wa Chuo cha Air Tanzania Training wakati walipofanya ziara ya mafunzo kiwandani hapo jana.
 Kiongozi Mkuu wa Wafanyakazi wa Ndege wa Shirika la ATCL,  Margaret Makwaia akimuuliza swali Mpishi wa bia,Jastino Jekela (kushoto) juu ya uzalishaji wa vinywaji vinavyozalishwa na Tbl wakati wa ziara ya mafunzo.
Mpishi wa bia,Jastino Jekela akielezea namna  uzalishaji wa vinywaji vinavyozalishwa na Tbl unavyofanyika wakati wa ziara ya mafunzo.
Baadhi ya  wanafuzi wa Chuo cha Air Tanzania Training  Institute  (ATCL), wakiangalia picha katika simu zao. 
Posted by MROKI On Thursday, March 10, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo