Nafasi Ya Matangazo

March 13, 2016

Diwani wa Kata ya Vigwaza Wilaya ya Bagamoyo,Mkoani Pwani, Mohsin Bharwani (katikati) na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kidogozero, Ali Mwanga (kushoto) na Mtendaji wa Kata hiyo, Masukuzi Masukuzi,  wakisikiliza maoni ya wananchi baada ya kukabidhi msaada wa vifaa vya mradi wa maji toka Mto Ruvu vyenye thamani ya sh. milioni 5 kwa ajili ya kusaidia wanafuzi wa Shule ya Msingi  Kidogozero.

Mkazi wa Kidongozero akizungumza katika mkutano huo.
  Diwani wa Kata ya Vigwaza wilayani Chalinze, Mohsin Bharwani, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kwazoka, wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani jana  alipowatembelea kusikiliza kero zao.
Diwani wa Kata ya Vigwaza wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani, Mohsin Bharwani (kushoto) akimkabidhi   Mwenyekiti wa Kijiji cha Kidogozero, Ali Mwanga, msaada wa vifaa vya mradi wa maji toka Mto Ruvu vyenye thamani ya sh. milioni 5 ili kusaidia wanafuzi wa Shule ya Msingi  Kidogozero. Katikati Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Hilda Ngakuka.
 Diwani wa Kata ya Vigwaza wilayani Chalinze, Mohsin Bharwani, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kwazoka, wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani jana  alipowatembelea kusikiliza kero zao.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Kidogozero, Ali Mwanga akizungumza baada ya msaada wa vifaa vya mradi wa maji toka mto Ruvu vyenye thamani ya Sh.milioni 5 vilivotolewa na Diwani wa Kata ya Vigwaza, Mohsin Bharwani (kushoto) kwa ajili ya  kusaidia wanafuzi wa Shule ya Msingi  Kidogozero iliyopo wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani jana.
Diwani wa Kata ya Vigwaza Mji mdogo wa Chalinze Wilayani bagamoyo, Mohsin Bharwani (kushoto),akikagua mtaro utakaopitisha bomba la maji toka mto Ruvu hadi Shule ya Msingi  Kidogozero, baada y kukabidhi vifaa vya mradi huo vyenye thamani ya Sh. milioni tano jana.
Posted by MROKI On Sunday, March 13, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo