Nafasi Ya Matangazo

January 05, 2016

Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo, akiongoza kikao kilichoshirikisha watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na kampuni ya Mtibwa Sugar Estates Ltd.   Profesa Muhongo aliitaka kampuni hiyo  kuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme ili kukidhi mahitaji yake zaidi.
Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo (mbele) akiongoza kikao kilichoshirikisha watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na kampuni ya Mtibwa Sugar Estates Ltd.   Profesa Muhongo aliitaka kampuni hiyo  kuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme ili kukidhi mahitaji yake zaidi.
 Katibu Mkuu wa Wizara  ya Nishati na Madini Prof. Justin Ntalikwa akieleza jambo katika kikao hicho.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini -  Madini,  Prof. James Mdoe (kushoto) na Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini – Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Palangyo (kulia) wakifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mtibwa Sugar Estates Ltd, Nassor Seif (hayupo pichani)
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Prof. Justin Ntalikwa (kulia) akibadilishana  mawazo na na Mkurugenzi Mtendaji wa Mtibwa Sugar Estates Ltd, Nassor Seif (kushoto) kabla ya kuanza kwa kikao hicho.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Mtibwa Sugar Estates Ltd, Nassor Seif akielezea shughuli zinazofanywa na kampuni ya Mtibwa Sugar Estate Ltd.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mhandisi Felchesmi Mramba akisisitiza jambo katika kikao hicho.
Posted by MROKI On Tuesday, January 05, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo