




![]() |
Madiwani wakimsikiliza Mbunge Michael kwa makini . |
![]() |
Madiwani wakimpongeza Ray Mboya baada ya kutangazwa mshindi. |
![]() |
aliyekuwa akiogombea nafasi ya Meya ,Francis Shio akizungumza mara baada ya kushindwa na Ray Mboya huku akiwataka madiwani kuungana kufanya kazi ya ahadi walizotoa kwa wananchi. |
![]() |
Mshindi wa nafasi ya Naibu Meya ,Peter Minja akishukuru mbele ya madiwani waliompigia kura na kufanikiwa kushika nafasi hiyo. |
![]() |
aliyekuwa akigombea nafasi ya Naibu Meya ,Jomba Koi na kushindwa na Peter Minja akizungumza katika kikao hicho akitoa ahadi ya kushirikiana na Meya aliyechaguliwa. |
![]() |
Mwenyekiti wa baraza la wazee wa chadema manispaa yaMoshi,Ally Mwamba akizungumza jambo katika kikao hicho. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |
0 comments:
Post a Comment