Nafasi Ya Matangazo

November 08, 2015

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dr. Helen Kijo Bisimba amepata ajali ya gari leo asubuhi katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es salaam. 

Gari hilo lilikuwa likiendeshwa na dereva wake ambaye naye inasemekana amejeruhiwa. Hivi sasa Mkurugenzi huyo wa LHRC anapatiwa matibabu katika hospitali ya Agha Khan jijini Dar es Salaa.Taarifa zaidi kuwajia
                           Muonekano wa gari lake baada ya kupata ajali. Source: Rweyunga Blog                           
Posted by MROKI On Sunday, November 08, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo