Nafasi Ya Matangazo

September 10, 2015

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akimtamburisha mgombea Ubunge katika jimbo la Mwanga ,Youngsevior Msuya mbele ya wananchi katika jimbo la Mwanga.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akihutubia katika mkutano huo.
Baadhi ya wananchi katika kata ya Kifula ,jimbo la Mwanga wakifuatilia uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa chama cha NCCR-Mageuzi.
 
PICHA ZAIDI BOFYA >>> FK MATUKIO 
Posted by MROKI On Thursday, September 10, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo