Nafasi Ya Matangazo

September 08, 2014

DSC_0145Digna Mbepera wa Skylight Band akifanya yake jukwaani kwenye tamasha la Nyama Choma lililofanyika kwenye viwanja vya michezo vya Chuo kikuu cha Dar es Salaam-UDSM mwishoni mwa juma.
DSC_0034 
DSC_0047
Ni hisia tu hakuna kingine....Skylight Band ni balaa.!
DSC_0035 
DSC_0054
Nyomi la kufa mtu... hapa chezea Skylight Band ndio habari ya mujini kwa sasa.
DSC_0235

DSC_0248
Mmoja wa mashabiki akiwa ameshika kiuno kuhamaki kwa kile anachokiona jukwaani kutoka kwa Skylight Band kwenye tamasha la Nyama Choma.
DSC_0175
Aneth Kushaba AK47 akiwapa vionjo vya aina yake mashabiki wa Skylight Band kwenye tamasha la Nyama Choma.
DSC_0150


DSC_0337
Sam Mapenzi akiporomosha mistari kwa mashabiki wa Skylight Band Nyama Choma Festival.
DSC_0340
Ni burudani mwanzo mwisho.
DSC_0363
Sony Masamba akiwachizisha mashabiki wa Skylight Band Nyama Choma Festival.
DSC_0189
Wapiga vyombo wa Skylight Band wakiwajibika kuhakikisha mashabiki wanapata kitu roho inapenda.
Posted by MROKI On Monday, September 08, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo