Nafasi Ya Matangazo

July 01, 2014

Tangazo la Msiba: Advocate Samuel Ole Lemboko Amefariki Alasiri leo 01/07/2014 Katika hospitali ya Agha Khan.

Ni majonzi makubwa kutoa taarifa ya msiba wa Shemeji yake Innocent Mungy wa TCRA, Advocate Samuel Ole Lemboko, baba yao Jackline Lemboko, (Chicky), baba yake marehemu John Lemboko, na mume wa marehemu dada yake mkubwa Maria Lemboko (Maria Lelo).

Mipango ya mazishi inafanyika hivi sasa na taarifa ya wapi msiba upo na mengine baada ya utaratibu utakaoamuliwa na familia itatolewa baadae.

Kwa wale wanaomfahamu Innocent Mungy ,basi alilelewa na  amelelewa na shemeji yake huyo pamoja na dada yake Maria tangu akiwa na umri wa miaka 12. 

Bwana alitoa, bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

imetolewa na 
INNNOCENT MUNGY 
Posted by MROKI On Tuesday, July 01, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo