Nafasi Ya Matangazo

June 19, 2014


 Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakijadiliana namna kuanza zoezi la kufanya usafi katika maeneo yayoizunguka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga. Shindano hilo litafanyika jumamosi 21/06/2014/ Mkonge Hotel.
 Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakitupa takataka katika gari maalum la kubeba taka. Mshindi wa kwanza katika shindano hilo atapata zawadi ya gari dogo aina ya Toyota Vitz
Zoezi la usafi limepamba moto na kuliacha eneo hilo safi kabisa. Mgeni rasmi katika shindano hilo atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mheshimiwa Chiki Gallawa
Posted by MROKI On Thursday, June 19, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo