Nafasi Ya Matangazo

May 23, 2014

Wasanii mbalimbali wakiwa katika mahojiano ya redio ili kuitangaza ziara ya muziki ya Kilimanjaro (kilimanjaro Music Tour) ambapo show kubwa itafanyika katika Chuo Cha Ushirika Moshi kwa udhamini wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.wasanii hao walitembelea Kili Fm na Moshi Fm. Zaidi ya wasanii kumi maarufu nchini watatoa burudani ya aina yake katika show itakayoanza saa nne asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni.Huu ni mwanzo wa show takriban kumi zitakazofanyika katika mikoa mbalimbali.

Posted by MROKI On Friday, May 23, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo