Nafasi Ya Matangazo

April 07, 2014

Meneja masoko wa kinywaji cha Grandmalt Fimbo Buttala akikabidhi kombe la Ubingwa wa ligi kuu ya Zanzibar kwa Viongozi na wachezaji wa timu ya KMKM kulia kwake ni mwenyekiti wa bararaza la michezo Zanzibar Ndugu Hamis Said, na wengine ni Rais wa ZFA Radhia Saina na makamu wa rais ZFA Pemba Ally Mohamed. Mchezo huo ulifanyika katika kiwanja cha Amani Mjini Unguja
Baadhi ya viongozi na wachezaji wa  timu ya Km Km wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa kombe la Ligi Kuu ya Zanzibar Grand Malt mjini Zanzibar kwa kuwa mabingwa wa Zanzibar
Posted by MROKI On Monday, April 07, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo