Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mh Sammuel Sitta amehairisha
bunge baada ya kutokea kutoelewana kwa wajumbe na wabunge wa bunge la
katiba.Chanzo cha mtafaruku huo ni baada ya Wajumbe na Baadhi ya wabunge wa
upinzani kupinga Jaji warioba asiwasilishe rasimu ya katiba leo mpaka Rais
ahutubie Bunge hilo kwanza.Mwenyekiti wa Bunge akaruhusu Jaji Warioba aendeleee
na Uwasilishaji lakini wabunge wakaanza kujibizana na kupiga makofi na meza za
bunge.Baadhi ya wajumbe wametoka nje na wengine wamebaki ndani huku wakiwa
wamesimama.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment