Baadhi
ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha
Arusha (AICC) wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano
cha Adelaide cha Jijini Adelaide nchini Australia Alec Gilbert (wa tatu
kushoto), akitoa maelezo ya namna ya ujenzi na uendeshaji. Baadhiya Wajumbe wa
Bodi ya Wakurugenzi wa AICC, Mkurugenzi Mwendeshaji na Maofisa wawili wapo
nchini Australia katika ziara ya mafunzo ambapo mbali na kutembelea Kituo cha
Adelaide pia watatembelea Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Melbourne
kilichopo katika Jijini la Melbourne chini Australia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment