Nafasi Ya Matangazo

February 19, 2014



1.0        UTANGULIZI 
 Mnamo mwezi Julai, 2013, Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilikamisheni jopo la wataalamu wa Chuo Kikuu kufanya tathmini ya mchakato mzima wa uhamaji toka mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda mfumo wa kidijiti pamoja na uzimaji wa mitambo hiyo kwenye miji saba ambayo ni Dar e salaam, Tanga, Moshi, Mwanza, Dodoma, Arusha na Mbeya. Uzimaji wa mitambo ya analojia ilikuwa ni kwa mujibu wa sheria, ambayo iko kwenye kanuni zinazojulikana kama “Digital Broadcasting and Other Networks 2011”

Jopo hilo lilijumuisha wataalamu wafuatao:-

Prof. Nerey Mvungi         Mtaalamu wa Mawasiliano ya ki electronic
Dr.Francis Sichona         Mtaalamu wa Takwimu
Mr.F.M Ishengoma        Mtaalamu wa Habari na Mawasiliano

Wote hawa ni wafanayakazi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
SOMA ZAIDI TAARIFA
Posted by MROKI On Wednesday, February 19, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo