Nafasi Ya Matangazo

January 15, 2014

Waziri mkuu mstaafu na mbunge  wa Monduli Mh Edward Lowassa(katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa shirikisho la waendesha bodaboda jijini Dar es Salaam ofisini kwake.Lowassa alikutana na viongozi hao kupanga utaratibu wa kufanya harambee ya kuchangia ya saccos ya shirikisho hilo.Mwezi Disemba mwaka jana Mh Lowassa alikuwa mgeni rasmi katika tamasha la bodaboda kwenye viwanja vya leaders jijini dsm ambapo aliahidi kukutana na uongozi huo kwa ajili ya kuandaa harambee ya kuwasaidia kumiliki pikipiki  waendesha bodaboda wa dar es salaam.
Posted by MROKI On Wednesday, January 15, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo