Nafasi Ya Matangazo

November 29, 2013

 Kifusi kilichowekwa na Kampuni ya ujenzi ya Patty Interplan ya jijini Dar es Salaam inayojenga barabara ya Vingunguti hadi Barakuda kimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo kuwa kimekuwa kereo kutokana na kutosambazwa kwa muda mrefu na kusababisha foleni.
Kibao cha Mkandarasi wa uwanja huo.
Posted by MROKI On Friday, November 29, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo