Nafasi Ya Matangazo

August 01, 2013

Msimamizi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Lindi Fortunata Raymond akitoa mada wakati wa mafunzo ya maboresho ya mafao yatolewayo na NHIF sambamba na mabadiliko ya usajili wa wanachama yaliyotekelezwa hivi karibuni,kwenye bwalo la maafisa wa Polisi Lindi.
Washiriki wa mafunzo hayo ambao ni askari wa jeshi la Magereza Mkoa wa Lindi wakimisikiliza mtoa mada hayupo pichani.

 Fotunata Raymond msimamizi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Lindi  akifafanua jambo mbele ya  maofisa askari wanachama wa  mfuko kutoka  Jeshi la Magereza mkoani humo hawapo pichani,kwenye bwalo la maafisa hao jana.kulia kwake ni afisa udhibiti ubora wa NHIF Dr.Beatrice Mwakipiesile,kushoto ni Naibu na Kaimu Mkuu wa Magereza Mkoa wa Lindi SSP Zephania.
Kaimu na Naibu mkuu wa Magereza Mkoani Lindi SSP Zephania akitoa  tathimini ya umuhimu wa elimu iliyowasilishwa kwa watumishi askari magereza waliopo mkoani humo.
Posted by MROKI On Thursday, August 01, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo