Nafasi Ya Matangazo

August 02, 2013

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akiwakabidhi msaada wa vyakula watoto yatima wanaolelewa katika Kituo cha Dar Alqaama Tandika katika sherehe ya kutoa misaa kwa vikundi mbalimbali vya yatima, Dar es Salaam hivi karibuni.

                                        Akiwakabidhi watoto wa Kituo cha Hiyari Chang'ombe
                                              Upendo Maganga wakipata msaada huo
                                                                  Upendo Bokolani wakipata msaada huo
                                        Kituo cha WAVIBA KILAKALA wakipokea msaada
                                               Kituo cha Faraja kikipokea msaada huo
 Mwenye ulemavu wa viungo, Zamda akipokea msaada wa vyakula kutoka kwa Mtemvu
                                                  Aisha Shabani akipokea msaada huo
                                        Mwasiti Mtebwa akipata msaada
 Mama Mwandoro akipata msaada
                                                           Ashura Sadiki


Kituo cha Ungindoni kikikabidhiwa msaada wa vyakula na Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu
Posted by MROKI On Friday, August 02, 2013 1 comment

1 comment:

  1. Mbunge Mhs.Zuberi Mtemvu wa wilaya ya Temeke ametuletea mabadiliko wilayani katika kipindi cha ubunge wake barabara,mifereji,na usafi wa jiji la Temeke bado upo katika uboreshaji mzuri vijana kwa wazee bado wanamkubali hana mpinzani ni mbuge wa kudumu wilaya ya Temeke.

    Mickey"Mikidadi"Jones
    Denmark

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo