Nafasi Ya Matangazo

August 13, 2013

Kulia  ni Meneja wa Duka la Airtel Mako makuu Bi, Happy John  akiwa na mshindi wa zawadi ya shilingi milioni moja kwa wiki  hii  Bw, Rakesh Mawji  akihesabu pesa zake mara baada ya kuzitoa kupitia huduma ya Airtel Money. Hafla ya makabidhiano na mshindi huyo ilifanyika katika ofisi za Airtel jiji ni Dar es salaam.

Kulia  ni Meneja uhusiano wa Airtel Bw jackson Mmbando akiwa akimpongeza mume wa mshindi wa wiki hii Bw, Hassan Abdalah mara baada ya mke wake (kati) Bi Mwajuma kukabidhiwa zawadi yake shilingi milioni moja na kuitoa kupitia huduma ya Airtel Money Hafla ya makabidhiano namshindi huyo ilifanyika katika ofisi za Airtel jijini Dar es salaam.
Kati ni Mwalim steven Maguru akionyesha pesa yake kwa furaha kiasi cha shilingi laki moja aliyotoa kupitia Airtel money mara baaada ya kushinda milioni moja na kupokea yote kupitia Airtel Money. Kulia ni mshindi mwingine wa wiki hii Bw, Rakesh Mawji na kushoto ni meneja Uhusiano wa Airtel bw, jackson Mmbando mara baada ya kukutana na washindi hao makao makuu ya Airtel jijini dar es salaam.
Posted by MROKI On Tuesday, August 13, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo