Nafasi Ya Matangazo

July 21, 2013

 Maharusi Norbert Kinyaiya na mkewe kipenzi Christabella Msangi wakiwa wenyew furaha baada ya kufunga ndoa yao takatifu leo Julai 20, 2013 katika kanisa Katoliki Parokia ya Seregerea jijini Dar es Salaam na kufuatiwa na tafrija kubwa katika ukumbi wa Maua Ubungo Extrenal.
Production by: MD Digital Company:
Mob: +255 373999;+255 717002303; Whatsapp:+255 788 207274
Maharusi wakicheza ngoma za kichaga.
Wapambe wa maharusi wakifuatilia matukio kwa furaha
Baadhi ya wanandugu wa maharusi wakiwa ukumbini
Mashangazi wa Biharusi wakiwa ukumbini
Ndugu wa Bwana harusi wakiwa ukumbini
Hapa ni mwendo wa kulishana ndafu
Wageni mbalimbali waalikwa.
Posted by MROKI On Sunday, July 21, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo