Nafasi Ya Matangazo

June 30, 2013

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Steve Gannon (kushoto) akisalimiana na moja ya wachezaji wa timu ya kampuni hiyo  Erick Salvatory(kulia)wakati wa ukaguzi kabla ya kuanza kwa mechi ya ujirani mwema kati ya SBL na vijana kutoka Chang`ombe B iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya DUCE jijini Dar es Salaam. 
 
 Katika picha ya pamoja Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Steve Gannon akiwa na kikosi cha timu ya Chang`ombe B kabla ya kuanza mechi ya kujenga ujirani mwema kati ya SBL na timu ya Chang`ombe B jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Steve Gannon akikabidhi jezi kwa nahodha wa timu ya Chang`ombe B kabla ya kuanza mechi ya ujirani mwema kati ya timu ya Kmpuni ya Serengeti na vijana kutoka Chang`ombe B mwishoni mwa wiki katika viwanja vya DUCE jijini Dra es Salaam
 Mwenyekiti wa mtaa wa Chang`ombe B Ahmed Khalid akiongea na vyombo vya habari wakati wa mechi ya ujirani mwema kati ya timu ya Chang`ombe B na Kampuni ya Bia ya Serengeti mwishoni mwa wiki katika viwanja vya DUCE  jijini Dar es Salaaam. 
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Steve Gannon akiongea na vyombo vya habari wakati wa mechi ya ujirani mwema kati ya timu ya Chang`ombe B na Kampuni ya Bia ya Serengeti iliyoandaliwa na kampuni hiyo mwishoni mwa wiki katika viwanja vya DUCE  jijini Dar es Salaaam. 
 Wadau wakifuatilia mchezo huo kwa makini. 
  Erick Salvatory mwenye namba 10 mgongoni akimtoka adui wake kutoka timu ya Chang`ombe wakati wa mechi ya ujirani mwema kati ya Kampuni ya Bia ya Serengeti na Chang`ombe B  iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya DUCE jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Steve Gannon akikabidhi jezi kwa nahodha wa timu ya Chang`ombe B kabla ya kuanza mechi ya ujirani mwema kati ya timu ya Kmpuni ya Serengeti na vijana kutoka Chang`ombe B mwishoni mwa wiki katika viwanja vya DUCE jijini Dra es Salaam.
Posted by MROKI On Sunday, June 30, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo