



Pichani juu ni baadhi ya magari mbalimbali yalioyoathiriwa vibaya kufuatia kungukiwa na ukuta.

Si Magari tu,hata bajaji pia zimeathiriwa vibaya kama uonavyo pichani.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi, Kinondoni, Afande Charles Kenyela akitoa maelekezo mafupi kwa baadhi ya maofisa wa Polisi waliokuwa wamefika kwenye eneo la tukio mapema leo asubuhi

Mmoja wa Maofisa wa Polisi akitazama moja ya gari lililoharibiwa vibaya mara baada ya kuangikwa na ukuta. PICHA ZAIDI BOFYA JIACHIE BLOG
0 comments:
Post a Comment