Godbless Lema ambaye alikuwa Mbunge wa Chama Cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Arusha Mjini akihutubia umati wa wanachama wa chama hicho katika viwanja vya Kilombero-karibu na Hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
Godbless Lema akiwa jukwaani na Mbunge wa Arumeru Joshua Nassari
Joshua Nassari (Mb) akihutubia
Ally Bananga,kada aliyejitoa CCM Arusha

Wananchi wa jiji la Arusha wakiwasikiliza viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa umakini , katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
![]() |
Wananchi wa jiji la Arusha wakifuatilia sera za viongozi wao wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha. |
0 comments:
Post a Comment