Nafasi Ya Matangazo

July 25, 2012

 Wanafunzi wa Shule ya Msingi Michungwaniiliyopo kijiji cha michungwani, Kata ya Segera wilayani Handeni mkoani Tangawakijisomea kitabu kuhusu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka1977 katika mkutano kukusanyaji maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya uliofanyika kijijini hapo hivi karibuni.
 Abdallah Mohamedi (31) mkaziwa kijiji cha Michungwani, Kata ya Segera, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga akitoamaoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano wa kukusanya maoni kijijini hapo hivi karibuni.
 Mzee Idrisa Omary (70),mkazi wa kijiji cha Michungwani, Kata ya Segera, Wilaya ya Handeni mkoani Tangaakitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya Mpya katika mkutano wa kukusanya maonikijijini hapo hivi karibuni. (Picha kwa hisani ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba (CRC))
 Wananchi wa Kata ya Nkwenda, Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera wakiwa katikamkutano wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wa kukusanya maoni yao kuhusu KatibaMpya.
 Bi.Teodezea John, ambaye ni mlemavu, mkazi wa Kata ya Kilimikile, Wilaya ya Misenyi,mkoani Kagera akitoa maoni yake kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipofanyamkutano wake wilayani hapo. hivi karibuni.
Wiliam Wilbard Ishengoma, mkazi wa Kata ya Bwanjai, Wilaya ya Misenyi mkoani Kageraakitoa maoni yake kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipofanya mkutano wakewilayani hapo hivi karibuni.
Posted by MROKI On Wednesday, July 25, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo